Windows

VIDEO: Nguruwe waingizwa mitaani wananchi walalamika


Wananchi wa kata ya manda iliyopo pembezoni mwa ziwa nyasa wilayani Ludewa mkoani Njombe wamelazimika kuacha  huru mifugo wakiwemo  nguruwe na kwenda kujitafutia chakula huku wengi wao wakidai ni kutokana na ukosefu wa chakula cha kutosha


Post a Comment

0 Comments