Windows

Yanga kuweka kambi China



Yanga imejipanga kwelikweli kwa ajili ya msimu ujao.

Baada ya machungu ya takribani misimu miwili, furaha inakaribia kurejea Jangwani

Sikia hii, kocha mkuu wa mabingwa hao wa kihistoria Mwinyi Zahera amefichua kuwa wanatarajia kwenda nje ya nchi kufanya maandalizi ya msimu ujao

Maandalizi hayo yatafanyika China na yatachukua zaidi ya wiki tano

Baada ya kumalizika kwa fainali za AFCON zitakazofanyika Misri mwezi ujao, Yanga italekea China kuweka kambi

Post a Comment

0 Comments