

Mabingwa wa soka Tanzania Bara Simba wanaondoka leo Jumatatu kuelekea mkoani Morogoro kukamilisha ratiba ya mchezo wa mwisho wa kumaliza msimu dhidi ya Mtibwa Sugar
Mchezo huo utapigwa keshokutwa Jumanne katika uwanja wa Jamhuri
Simba itakabidhiwa taji la ligi kuu baada ya mchezo huo



0 Comments