MPIRA unaoendelea kwa sasa Uwanja wa Uhuru ni kati ya Simba dhidi ya Azam Fc uwanja wa Uhuru. Mchezo wa kwanza Azam FC ilipoteza kkwa kufungwa mabao 3-1 mchezo uliochezwa uwanja wa Taifa, hivyo leo ni ngoma nzito. Kwa sasa ni kipindi cha kwanza hakuna aliyeona lango la mwenzake kwa timu zote mbili
0 Comments