Windows

LIVE: SIMBA 0-0 AZAM

MPIRA unaoendelea kwa sasa Uwanja wa Uhuru ni kati ya Simba dhidi ya Azam Fc uwanja wa Uhuru.

Mchezo wa kwanza Azam FC ilipoteza kkwa kufungwa mabao 3-1 mchezo uliochezwa uwanja wa Taifa, hivyo leo ni ngoma nzito.

Kwa sasa ni kipindi cha kwanza hakuna aliyeona lango la mwenzake kwa timu zote mbili

Post a Comment

0 Comments