


KLABU ya Lipuli imeiondoa Timu ya Yanga kwenye michuano ya Kombe la Shirikisho la Azam baada ya kuipa kipigo cha bao 2-0, leo Jumatatu, Mei 6, 2019 kwenye Dimba Samora mjini Iringa. 
Yanga wanatupwa nje, na Lipuli FC wanatinga fainali, sasa watakutana na Azam FC kwenye Dimba la Ilulu mkoani Lindi.


The post LIPULI YAIPIGA YANGA 2-0, YATINGA FAINALI appeared first on Global Publishers.



0 Comments