Windows

FT : Mtibwa Sugar 0-0 Simba



Mchezo wa kufunga msimu ligi kuu ya Tanzania Bara kati ya Mtibwa Sugar dhidi ya Simba umemalizika kwa suluhu ya bila kufunga

Mchezo huo ulishuhudiwa na idadi kubwa ya mashabiki wa Simba waliofurika uwanja wa Jamhuri, kushuhudia mabingwa Simba wakikabidhiwa taji lao

Baada ya mchezo huo hafla ya kuikabidhi Simba ubingwa inafuatia

Waziri wa Mambo ya Ndani Mh Kangi Lugola,ndiye mgeni rasmi wa hafla hiyo

Post a Comment

0 Comments