Windows

ACHA KABISA!! MANARA AWACHANA VIKALI WAKONGO, AMTAJA ZAHERA


Alichokiandika Ofisa Habari wa Simba, Haji Manara, kuhusiana na taarifa iliyoandikwa na ukurasa ambao unaonekana unamilikiwa na watu wa Congo kwenye Instagram, ulioeleza kuwa Simba huwa inafanya fitna kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.



Post a Comment

0 Comments