

Konki amepata umaarufu kupitia ulevi yaani ni mnywaji wa pombe kupita kiasi na akishalewa hufanya vituko ambavyo ndivyo haswa vilivyompa umaarufu.
Ulevi wa Konki na vituko vyake hatimaye umempa faida baada ya kulamba shavu la kuwa balozi wa Hoteli ya Mami Inn iliyopo maeneo ya Temeke jijini Dar es Salaam



0 Comments