Windows

HASIRA ZOTE ZA AZAM FC KUHAMISHIA KWA COASTAL UNION



BAADA ya kupoteeza pointi tatu mbele ya Tanzania Prisons Kikosi cha Mabingwa wa Afrika Mashariki na Kati Azam hesabu zao kwa sasa ni mbele ya Coastal Union.

Azam FC wameshindwa kupata pointi tatu kwenye michezo yao mitatu ya hivi karibuni na kuruhusu kupoteza jumla ya pointi saba.

Walianza mbele ya Alliance kwa kuwana pointi moja kisha wakagawana pointi moja na Lipuli kabla ya kuonyeshwa namna ligi ilivyo na Tanzania Prisons ambao walibeba pointi zote tatu.

Mchezo wao dhidi ya Coastal Union utakuwa kesho Uwanja wa Mkwakwani Tanga.

Post a Comment

0 Comments