Windows

CHEKI RATIBA ILIVYO, SIMBA WANAKIPIGA MARA MBILI WIKI HII



LIGI Kuu Bara bado moto wake hauzimwi kwa sasa ikiwa ni mzunguko wa pili na kwa baadhi ya timu zikimalizia viporo vyao.

Hii hapa ratiba ya wiki hii na mechi hizi zitarushwa na Azam TV, usisahau kulipia king'amuzi chako upate uhondo namna:-

Jumanne Februari 19

Jumanne itakuwa ni mchezo kati ya Mwadui FC dhidi ya Biashara United saa 8:00 Mchana Uwanja Mwadui Complex.

African Lyon dhidi ya Simba Uwanja wa Amri Abeid, Arusha saa 10:00 Jioni.

Coastal Union dhidi ya Azam FC Uwanja wa Mkwakwani Tanga majira ya 10:00 Jioni.


Jumatano Februari 20

Mbao FC dhidi ya Yanga Uwanja wa CCM Kirumba saa 10:00 Jioni.

Mbeya City dhidi ya Tanzania Prisons Uwanja wa Sokoine, saa 10:00 jioni.

Stand United dhidi ya Lipuli uwanja wa Kambarage

Ijumaa Februari 22

Azam FC dhidi ya Simba Uwanja wa Taifa saa 10:00 Jioni.


Post a Comment

0 Comments