Windows

VIDEO: A-Z Madai ya Zitto kabwe kutishiwa kifo, ACT Wachukua maamuzi magumu

Katibu Mwenezi Ngome ya vijana wa chama cha ACT Wazalendo  amefunguka kuhusiana na sakata la Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe kudaiwa kutishiwa kuuawa ambapo mpaka sasa kama chama wamekuwa wakichukua tahadhari mara tu inapotolewa taarifa ili kuhakikisha mbunge huyo anakuwa salama

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI....USISAHAU KUSUBSCRIBE 



Post a Comment

0 Comments