Windows

Tetesi za Soka Ulaya Jumapili 06.03.2022: Pogba, Saka, Wijnaldum, Haaland, Onana, Christensen, Diaby, Kepa,

Juventus wamewasiliana na wakala wa Paul Pogba Mino Raiola kuhusu uwezekano wa kiungo huyo wa kati wa Manchester United kurejea Turin msimu ujao. (Gazzetta dello Sport - in Italian)

Post a Comment

0 Comments