Windows

Tetesi za Soka Ulaya Jumatano 23.02.2022: Mbappe, Felix, Mane, Cavani, Dybala, Martinez, Olise, Nkunku, Johnson

Real Madrid bado wana uhakika wa kumsajili mshambuliaji wa Ufaransa Kylian Mbappe, 23, kwa uhamisho wa bila malipo kutoka Paris St-Germain na wanapanga kutangaza mkataba huo mwishoni mwa msimu huu. (Goal)

Post a Comment

0 Comments