Windows

Tetesi za Soka Ulaya Alhamisi 07.10.2021:Calvert-Lewin, Watkins, Vlahovic, Lang, Haaland, Winks, Umtiti

Arsenal wanalenga wachezaji wawili wa England,Dominic Calvert-Lewin,24 na Ollie Watkins, 25, lakini inakabiliwa na kibarua kigumu kuwatoa Everton na Aston Villa mtawalia. (Sun)

Post a Comment

0 Comments