Windows

Tetesi za Soka Ulaya Alhamisi 21.10.2021: Dembele, Haaland, Tielemans, Dybala, Olmo, Onuachu

Mshambuliaji wa Barcelona Ousmane Dembele, yuko tayari kuhamia Newcastle United wakati mkataba wake utakapomalizika mwishoni mwa msimu. Nyota huyo wa kimataifa wa Ufaransa, 24, alijiunga na klabu hiyo ya Catalan kwa ada ya £117m mwaka 2017. (Goal)

Post a Comment

0 Comments