Windows

Lionel Messi: Je huu ndio mwisho wa nyota huyu katika klabu ya Barcelona?

Barca ilihitajika kuwauza wachezaji ili kufadhili makubaliano hayo ambayo yangesababisha kupunguzwa kwa mshahara wa Messi kwa Yuro milioni 200 ili kuafikia masharti ya fair Play ya ligi ya La liga

Post a Comment

0 Comments