Mshambuliaji wa Tottenham Harry Kane, 27, na mshambuliaji wa Aston Villa Jack Grealish, 25, wamesalia kuwa wachezaji wanaolengwa zaidi na Manchester City msimu huu na washindi hao wa Primia Ligi wameazimia kusaini mkataba na wachezaji hao wa kimataifa wa England . (Athletic - subscription required)
0 Comments