Chelsea inatarajiwa kutoa dau la £130m kumnunua mshambuliaji wa Borussia Dortmund na Norway Erling Braut Haaland, 22, baada ya mmiliki wake Roman Abrahamovich kutoa baraka zake kuendelea na kile ambacho kitakuwa rekodi mpya ya klabu hiyo.. (Football Insider)
0 Comments