Windows

Tetesi za Soka Ulaya Alhamisi 24.06.2021: Messi, Kane, Rodriguez, Nuno, Ramos, Hakimi, Gilmour, Smith Rowe

Mshambuliaji nyota wa Argentina Lionel Messi, 33, bado hajafanya uamuzi iwapo atasalia Barcelona au la, akiwa amebaki na wiki moja kumaliza mkataba wake na klabu hiyo ya Uhispania. (Marca)

Post a Comment

0 Comments