Windows

Tetesi za soka Ulaya Jumatano 19.05.2021: Lewandowski, Kane, Lampard, Neto, Raul, Ginter, Zerkane, Berge

Chelsea imewasiliana na Bayern Munich kuhusu uhamisho wa mshambuliaji wa Poland Robert Lewandowski , lakini klabu hiyo ya ligi ya Premia inakabiliwa na changamoto kuu ya ushindani kutoka kwa Paris St Germain na Barcelona.. (Sky Sport Germany - in German)

Post a Comment

0 Comments