Mshambuliaji wa Brazil Neymar, 29, ameingia makubaliano ya awali ya kuichezea Paris St-Germain mpaka mwaka 2026- na sasa klabu hiyo ya Ufaransa inafanya jitihada ya kufanya makubaliano kama hayo na mshambuliaji wa Kifaransa Kylian Mbappe,22. (Telefoot, via AS)
0 Comments