Windows

Ligi kuu ya Ulaya : Arsenal, Chelsea, Liverpool, Manchester City, Manchester United na Tottenham zakubali kujiunga

Katika hatua ambayo huenda ikayumbisha soka huko Uropa, vilabu hivyo vya Ligi ya premia vitajiunga na AC Milan, Atletico Madrid, Barcelona, Inter Milan, Juventus na Real Madrid katika kuunda ligi mpya ya bara ulaya .

Post a Comment

0 Comments