Windows

Mlipuko mkubwa Equatorial Guinea: Watu 15 wadaiwa kufariki

Watu takriban 15 wamefariki dunia huku wengine zaidi ya 100 wakipata majeraha katika mfululizo wa milipuko iliyotokea nchini Equatorial Guinea, Wizara ya afya imesema.

Post a Comment

0 Comments