Windows

Kenya yajiondoa katika kusikilizwa kwa mzozo wake wa majini na Somalia

Kenya imejiondoa katika usikilizaji wa kesi ya mzozo wa mpaka wa majini kati yake na Somalia katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ), vyanzo vya serikali vimezungumza na BBC.

Post a Comment

0 Comments