Windows

Nyantakyi kutojishughulisha na soka kwa miaka 15 badala ya kifungo cha maisha

Adhabu ya kutojihusisha na shughuli za soka maisha dhidi ya rais wa shirikisho la soka nchini Ghana Kwesi Nyantakyi imepunguzwa hadi miaka 15 baada ya rufaa iliyopelekwa kwenye mahakama ya kimichezo (Cas).

Post a Comment

0 Comments