Windows

Tetesi za soka Ulaya Jumatatu 21.09.2020: Alli, Rudiger, Lacazette, Brewster, Morrison, Vidal

Wachezaji wa Tottenham walipigwa na butwaa baada ya kiungo wa timu hiyo na England, Dele Alli, anayehusishwa na mipango ya kuhamia Paris St-Germain, kuachwa kwenye kikosi kilichoshinda Jumapili hii dhidi ya Southampton. (Mail)

Post a Comment

0 Comments