Windows

Tetesi za soka Ulaya Alhamisi 03.09.2020: Messi, Thiago, Wijnaldum, Wilson, Guendouzi, Higuain

Baba yake Lionel Messi na wakala wake, Jorge, wamekutana na rais wa Barcelona Josep Maria Bartomeu, aliyesema kwamba klabu hiyo haitafanya mazungumzo ya kumuuza mshambuliaji huyo wa Argentina.

Post a Comment

0 Comments