Windows

Tetesi za soka Ulaya Jumatatu tarehe 09.09.2019: Messi, Emerson, Rojo, Pogba, Luis, van Dijk

Barcelona wanajiandaa kusaini mkataba na mshambuliaji wa mbele Lionel Messi, 32, ili kuendelea kuwa nae katika klabu hiyo kwa miaka iliyosalia ya maisha yake ya soka. (Mundo Deportivo via Mirror)

Post a Comment

0 Comments