Windows

Waziri wa Mifugo na Uvuvi Luhaga Mpina AIVUNJA Bodi ya Wakurugenzi ya Bodi ya Maziwa Tanzani

Waziri wa Mifugo na Uvuvi Luhaga Mpina, ametangaza kuivunja Bodi ya Wakurugenzi ya Bodi ya Maziwa Tanzania, kuanzia leo August 22, 2019 kutokana na kutoridhishwa na utendaji wa kazi zao.





Post a Comment

0 Comments