Windows

Mbwana Samatta ailaza timu ya Anderlecht ya Vincent Kompany

Mabingwa wa ligi ya Ubelgiji Genk waliilaza timu inayoongozwa na mchezaji wa zamani wa Manchester City Vincent Kompany - Anderlecht 1-0 katika siku ya tano ya ligi hiyo ya Jupiler Pro.

Post a Comment

0 Comments