Windows

Sonso 'asinya' miaka miwili Yanga



Mlinzi wa Lipuli Fc Ally Sonso inaelezwa nae amesaini mkataba wa miaka miwili kuitumikia Yanga

Yanga ilianza kumuwania beki huyo tangu wakati wa dirisha dogo la usajili mwezi Disemba 2018

Anakuwa mchezaji wa pili kusajiliwa na Yanga mongoni mwa wachezaji wa ndani ambapo kocha Mwinyi Zahera alisema atasajili wachezaji wanne wazawa

Post a Comment

0 Comments