Windows

Picha : STEPHEN MASELE ARUDI TANZANIA BAADA YA BUNGE LA AFRIKA (PAP) KUFUNGWA


Makamu wa Kwanza wa Rais wa Bunge la Afrika Mhe. Stephen Masele ambaye ni Mbunge wa jimbo la Shinyanga Mjini ameonekana akijiandaa kusafiri kurudi nchini Tanzania baada ya Mkutano wa Bunge la Afrika uliokuwa unaendelea jijini Johannesburg,Afrika Kusini tangu Mei 6,2019, kufungwa leo Ijumaa Mei 17,2019.

Soma pia : Picha : MKUTANO WA PILI WA BUNGE LA AFRIKA (PAP) WAFUNGWA
Walinzi wakiwa wamebeba mizigo ya Mhe. Stephen Masele.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Bunge la Afrika Mhe. Stephen  Masele akiondoka katika Hotel ya Gallagher hoteli iliyopo jijini Johannesburg,Afrika Kusini baada ya mkutano wa Bunge la Afrika kufungwa leo Mei 17,2019.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Bunge la Afrika Mhe. Stephen Masele.


Post a Comment

0 Comments