Windows

EPL HT MATOKEO YAPO NAMNA HII

VITA ya wababe wawili wanaowania kombe la Ligi Kuu England imezidi kunoga ambapo kwa sasa ni mapumziko, matokeo yao yapo namna hii:-

Liverpool 1-0 wolve, goli limefungwa na Sadio Mane dk ya 17.

Brighton 1-2 Manchester City, mabao yamepachikwa na Sergio Aguero dk ya 28 na A. Laporte dk ya 38 n kwa upande wa Brightoni bao limepachikwa na G. Murray dk ya 27.

Post a Comment

0 Comments