Windows

LIVE: NAMUNGO FC 0-0YANGA

Uwanja wa Majaliwa uliopo Ruangwa mkoani Lindi
Namungo 0-0 Yanga.


Mchezo wa Kombe la Shirikisho umeanza kwa sasa Uwanja wa Majaliwa.

14 Namungo wanaaza safari kwenda kwa Kindoki.

Dakika ya 13 Yanga wanapata kona ya kwanza inapigwa na Ajibu.

8 Manyanya alichezewa rafu na Haji Mwinyi akapewa kadi ya njano.

Dakika ya 07 Haji Mwinyi anaonyeshwa kadi ya njano kwa k
Mlinda mlango Kindoki anaonyesha uwezo wake wa kunyakua mipira.





Post a Comment

0 Comments